Nenda kwa yaliyomo

Kiambishi tamati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kiambishi tamati (au viambishi tamati katika dhana ya wingi) ni aina za viambishi vinavyopatikana baada ya mzizi wa neno.

Mfano: neno "WANALIMIANA" linaundwa hivi:

- WA - NA - LIM (mzizi) - I - AN - A

Kwa hiyo, I, AN na A ni viambishi tamati.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiambishi tamati kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.